Hosea 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na mahali pa juu pa Beth-aveni,+ dhambi ya Israeli,+ pataangamizwa. Miiba na mibaruti+ itakuja juu ya madhabahu zao.+ Na hakika watu wataiambia milima, ‘Tufunikeni!’ na vilima, ‘Tuangukieni!’+ Luka 23:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Ndipo watakapoanza kuiambia milima, ‘Tuangukieni!’ na vilima, ‘Tufunikeni!’+
8 Na mahali pa juu pa Beth-aveni,+ dhambi ya Israeli,+ pataangamizwa. Miiba na mibaruti+ itakuja juu ya madhabahu zao.+ Na hakika watu wataiambia milima, ‘Tufunikeni!’ na vilima, ‘Tuangukieni!’+