Hosea 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ijapokuwa unafanya uasherati, Ee Israeli,+ Yuda asiwe na hatia,+ nanyi msije Gilgali,+ wala msiende Beth-aveni+ wala kuapa ‘Kama anavyoishi Yehova!’+ Amosi 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na mahali pa juu pa Isaka+ patafanywa kuwa ukiwa, na patakatifu+ pa Israeli pataharibiwa;+ nami nitasimama kuipiga nyumba ya Yeroboamu kwa upanga.”+
15 Ijapokuwa unafanya uasherati, Ee Israeli,+ Yuda asiwe na hatia,+ nanyi msije Gilgali,+ wala msiende Beth-aveni+ wala kuapa ‘Kama anavyoishi Yehova!’+
9 Na mahali pa juu pa Isaka+ patafanywa kuwa ukiwa, na patakatifu+ pa Israeli pataharibiwa;+ nami nitasimama kuipiga nyumba ya Yeroboamu kwa upanga.”+