2 Wafalme 15:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ndipo Shalumu mwana wa Yabeshi akapanga hila+ juu yake, akampiga+ katika Ibleamu,+ akamuua, akaanza kutawala mahali pake. Hosea 13:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Samaria atahesabiwa kuwa na hatia,+ kwa maana kwa kweli yeye amemwasi Mungu wake.+ Wataanguka kwa upanga.+ Watoto wao wenyewe watavunjwa vipande-vipande,+ na wanawake wao wenye mimba watapasuliwa.”+
10 Ndipo Shalumu mwana wa Yabeshi akapanga hila+ juu yake, akampiga+ katika Ibleamu,+ akamuua, akaanza kutawala mahali pake.
16 “Samaria atahesabiwa kuwa na hatia,+ kwa maana kwa kweli yeye amemwasi Mungu wake.+ Wataanguka kwa upanga.+ Watoto wao wenyewe watavunjwa vipande-vipande,+ na wanawake wao wenye mimba watapasuliwa.”+