Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Usimame, Ee Yehova, katika hasira yako;+

      Uinuke katika milipuko ya ghadhabu ya wale wanaonionyesha uadui,+

      Na uamke kwa ajili yangu,+ kwa maana umetoa amri kwa ajili ya hukumu.+

  • Mika 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Maana, tazama! Yehova anatoka mahali pake,+ naye atashuka na kukanyaga mahali pa juu pa dunia.+

  • Waebrania 12:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Wakati huo sauti yake iliitikisa dunia,+ lakini sasa ameahidi, akisema: “Bado mara moja tena nitaitikisa, si dunia peke yake, bali pia na mbingu.”+

  • 2 Petro 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini siku ya Yehova+ itakuja kama mwizi,+ ambayo katika hiyo mbingu zitapitilia mbali+ kwa kelele ya kuvuma,+ lakini vitu vyake vya msingi vikiwa moto sana vitayeyushwa,+ na dunia+ na kazi zilizo ndani yake zitafunuliwa.+

  • Ufunuo 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na umeme na sauti na ngurumo zikatokea, na kukatokea tetemeko kubwa la nchi+ la namna ambayo haijatokea tangu wanadamu walipokuja kuwa duniani,+ tetemeko la nchi+ lenye kuenea sana, lililo kubwa sana.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki