10 Lakini siku ya Yehova+ itakuja kama mwizi,+ ambayo katika hiyo mbingu zitapitilia mbali+ kwa kelele ya kuvuma,+ lakini vitu vyake vya msingi vikiwa moto sana vitayeyushwa,+ na dunia+ na kazi zilizo ndani yake zitafunuliwa.+
18 Na umeme na sauti na ngurumo zikatokea, na kukatokea tetemeko kubwa la nchi+ la namna ambayo haijatokea tangu wanadamu walipokuja kuwa duniani,+ tetemeko la nchi+ lenye kuenea sana, lililo kubwa sana.