Zaburi 115:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini Mungu wetu yuko mbinguni;+Kila kitu ambacho alipendezwa kufanya, amekifanya.+ Isaya 26:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana, tazama! Yehova anakuja kutoka mahali pake ili kulitoza hesabu kosa la mkaaji wa nchi juu yake,+ na nchi hakika itafunua umwagaji wake wa damu+ wala haitawafunika tena watu wake waliouawa.”+ Ezekieli 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nayo roho ikaniinua+ nami nikaanza kusikia nyuma yangu kishindo cha mvumo mkubwa:+ “Na ubarikiwe utukufu wa Yehova kutoka katika mahali pake.”+
21 Kwa maana, tazama! Yehova anakuja kutoka mahali pake ili kulitoza hesabu kosa la mkaaji wa nchi juu yake,+ na nchi hakika itafunua umwagaji wake wa damu+ wala haitawafunika tena watu wake waliouawa.”+
12 Nayo roho ikaniinua+ nami nikaanza kusikia nyuma yangu kishindo cha mvumo mkubwa:+ “Na ubarikiwe utukufu wa Yehova kutoka katika mahali pake.”+