Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Aliendelea kumfanya apande juu ya mahali pa juu pa dunia,+

      Hivi kwamba akala mazao ya shamba.+

      Naye akaendelea kumfanya anyonye asali kutoka katika mwamba,+

      Na mafuta kutoka katika jiwe gumu;+

  • Kumbukumbu la Torati 33:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Una furaha, Ee Israeli!+

      Ni nani aliye kama wewe,+

      Kikundi cha watu kinachofurahia wokovu wa Yehova,+

      Aliye ngao ya msaada wako,+

      Na Yule aliye upanga wako wa adhama?+

      Kwa hiyo adui zako watatetemeka mbele yako,+

      Na wewe—utapakanyaga mahali pao pa juu.”+

  • Amosi 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana, tazama! Mfanyizaji wa milima+ na Muumba wa upepo,+ Yeye anayemwambia mtu wa udongo shughuli zake za akilini,+ Yeye anayefanya mapambazuko kuwa giza,+ na Yeye anayetembea mahali pa juu pa dunia,+ Yehova Mungu wa majeshi ndilo jina lake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki