Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 10:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mara moja Musa akanyoosha mkono wake kuelekea mbinguni, na giza zito likaanza kutokea katika nchi yote ya Misri kwa siku tatu.+

  • Kutoka 14:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa hiyo ikaingia katikati ya kambi ya Wamisri na kambi ya Israeli.+ Kwa upande mmoja ikawa wingu pamoja na giza. Kwa upande ule mwingine ikawa ikiuangaza usiku.+ Nacho kikundi hiki hakikukaribia kikundi kile usiku kucha.

  • Isaya 5:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nao siku hiyo watanguruma juu yake na mngurumo kama wa bahari.+ Na mtu kwa kweli ataiangalia nchi, na, tazama! kuna giza lenye kutaabisha;+ na hata nuru imetiwa giza kwa sababu ya matone yanayoanguka juu yake.

  • Yeremia 13:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Mpeni Yehova Mungu wenu utukufu,+ kabla hajaleta giza+ na kabla miguu yenu haijagongana juu ya milima wakati wa jioni.+ Nanyi hakika mtaitumaini nuru,+ naye kwa kweli ataifanya iwe kivuli kizito;+ ataigeuza iwe giza zito.+

  • Amosi 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “ ‘Na itakuwa katika siku hiyo,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘kwamba nitalifanya jua lishuke katikati ya mchana,+ nami nitailetea nchi giza siku ya mwangaza.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki