- 
	                        
            
            Ufunuo 16:18Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
- 
                            - 
                                        18 Na meme na sauti na ngurumo zikatokea, na tetemeko kubwa la dunia likatukia la namna ambayo haijatukia tangu wanadamu walipokuja kuwa duniani, tetemeko la dunia lenye kuenea sana, lililo kubwa sana. 
 
-