18 Kukawa na radi na sauti na ngurumo, na kukatokea tetemeko kubwa la ardhi ambalo halijawahi kutokea tangu wanadamu walipoumbwa duniani,+ tetemeko hilo la ardhi lilikuwa kubwa sana na lilienea sana.
18 Na umeme na sauti na ngurumo zikatokea, na kukatokea tetemeko kubwa la nchi+ la namna ambayo haijatokea tangu wanadamu walipokuja kuwa duniani,+ tetemeko la nchi+ lenye kuenea sana, lililo kubwa sana.