Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 38:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa bidii yangu, kwa moto wa ghadhabu yangu, nitazungumza; na siku hiyo kutakuwa na tetemeko kubwa la ardhi katika nchi ya Israeli.

  • Danieli 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Wakati huo Mikaeli*+ atasimama,* yule mkuu+ anayesimama kwa ajili ya watu wako.* Na kutakuwa na wakati wa taabu ambao haujawahi kamwe kutokea tangu kuanzishwa kwa taifa lolote mpaka wakati huo. Na wakati huo watu wako wataponyoka,+ kila mtu atakayepatikana ameandikwa katika kile kitabu.+

  • Waebrania 12:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Wakati huo sauti yake iliitikisa dunia,+ lakini sasa ameahidi: “Nitatikisa kwa mara nyingine tena, si dunia tu bali pia mbingu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki