16 Mkatilieni mbali mpandaji wa mbegu kutoka Babiloni,+ na yule anayechukua mundu wakati wa mavuno. Kwa sababu ya upanga unaoonea kila mmoja atawageukia watu wake mwenyewe, na kila mmoja ataikimbilia nchi yake mwenyewe.+
13 “Naye atanyoosha mkono wake kuelekea kaskazini, naye ataangamiza Ashuru.+ Naye atafanya Ninawi kuwa mahame yenye ukiwa,+ eneo lisilo na maji kama nyika.