Nahumu 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo itakuwa kwamba kila mtu anayekuona atakukimbia+ naye atasema, ‘Ninawi ameporwa! Ni nani atakayemsikitikia?’ Nitakutafutia wapi wafariji? Nahumu 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Wachungaji wako wamesinzia,+ Ee mfalme wa Ashuru; wenye fahari wako wanakaa katika makao yao.+ Watu wako wametawanywa juu ya milima, wala hakuna anayewakusanya pamoja.+
7 Ndipo itakuwa kwamba kila mtu anayekuona atakukimbia+ naye atasema, ‘Ninawi ameporwa! Ni nani atakayemsikitikia?’ Nitakutafutia wapi wafariji?
18 “Wachungaji wako wamesinzia,+ Ee mfalme wa Ashuru; wenye fahari wako wanakaa katika makao yao.+ Watu wako wametawanywa juu ya milima, wala hakuna anayewakusanya pamoja.+