Isaya 34:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na watu wao waliouawa watatupwa nje; na harufu mbaya ya mizoga yao itapaa;+ na milima itayeyuka kwa sababu ya damu yao.+ Ezekieli 29:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nami nitakuacha nyikani, wewe na samaki wote wa mifereji yako ya Nile.+ Utaanguka juu ya uso wa nchi.+ Hutaokotwa wala kukusanywa pamoja. Nitakutoa uwe chakula kwa wanyama-mwitu wa dunia na kwa viumbe vinavyoruka vya mbinguni.+
3 Na watu wao waliouawa watatupwa nje; na harufu mbaya ya mizoga yao itapaa;+ na milima itayeyuka kwa sababu ya damu yao.+
5 Nami nitakuacha nyikani, wewe na samaki wote wa mifereji yako ya Nile.+ Utaanguka juu ya uso wa nchi.+ Hutaokotwa wala kukusanywa pamoja. Nitakutoa uwe chakula kwa wanyama-mwitu wa dunia na kwa viumbe vinavyoruka vya mbinguni.+