Ezekieli 28:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 kwa hiyo tazama, ninaleta juu yako wageni,+ waonevu wa mataifa,+ nao hakika watachomoa panga zao juu ya uzuri wa hekima yako na kutia unajisi fahari yako inayong’aa.+ Habakuki 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana, tazama, ninawasimamisha Wakaldayo,+ taifa lenye uchungu na lenye haraka, linaloenda kote duniani ili kumiliki makao yasiyo yake.+
7 kwa hiyo tazama, ninaleta juu yako wageni,+ waonevu wa mataifa,+ nao hakika watachomoa panga zao juu ya uzuri wa hekima yako na kutia unajisi fahari yako inayong’aa.+
6 Kwa maana, tazama, ninawasimamisha Wakaldayo,+ taifa lenye uchungu na lenye haraka, linaloenda kote duniani ili kumiliki makao yasiyo yake.+