Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nao manabii wanakuwa upepo, na lile neno halimo ndani yao.+ Hivyo ndivyo watakavyotendewa.”

  • Yeremia 23:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa hiyo Yehova wa majeshi amesema hivi juu ya manabii: “Tazama, ninawalisha pakanga, nami nitawapa maji yaliyotiwa sumu wanywe.+ Kwa maana kutoka kwa manabii wa Yerusalemu uasi-imani+ umeenea katika nchi yote.”

  • Ezekieli 13:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na mkono wangu umekuwa dhidi ya manabii wanaoona mambo yasiyo ya kweli na wanaoagua uwongo.+ Katika kikundi cha rafiki wa karibu+ wa watu wangu hawataendelea kukaa, nao hawataandikwa katika kitabu cha kuandikisha cha nyumba ya Israeli,+ na katika udongo wa Israeli hawatakuja;+ nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ndiye Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki