Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 14:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wakati wanapofunga, mimi sisikilizi kilio chao cha kusihi;+ na wanapotoa toleo zima la kuteketezwa na toleo la nafaka, mimi siyafurahii;+ kwa maana nitawamaliza kwa upanga na kwa njaa na kwa tauni.”+

  • Ezekieli 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Sehemu ya tatu utaiteketeza katika moto katikati ya jiji mara tu zitakapotimia siku za kuzingira.+ Nawe utachukua sehemu nyingine ya tatu. Utaipiga kwa upanga kulizunguka jiji pande zote,+ nayo sehemu ya tatu ya mwisho utaitawanya kwenye upepo, nami nitauchomoa upanga nyuma yao.+

  • Zekaria 11:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mwishowe nikasema: “Sitaendelea kuwachunga ninyi.+ Yule anayekufa, na afe. Na yule anayefutiliwa mbali, na afutiliwe mbali.+ Na wale waliobaki, kila mmoja na ale nyama ya mwenzake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki