-
Zekaria 11:9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Kisha nikasema: “Sitaendelea kuwachunga ninyi. Yule anayekufa na afe, na yule anayeangamia na aangamie. Na wale wanaobaki, kila mmoja wao amle mwenzake.”
-