24 Tazama! Watu wamekuja na maboma ya kuzingira+ kwenye jiji ili kuliteka,+ na jiji hili hakika litatiwa mkononi mwa Wakaldayo wanaopiga vita juu yake,+ kwa sababu ya upanga+ na njaa+ na tauni;+ na lile ulilosema limetendeka, na, tazama, wewe unaliona.+