Kumbukumbu la Torati 28:59 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 ndipo hakika Yehova atayafanya mapigo yako na mapigo ya uzao wako yawe makali sana, mapigo makuu na yenye kudumu kwa muda mrefu,+ na magonjwa hatari na yenye kudumu kwa muda mrefu.+ Yeremia 24:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nami nitatuma juu yao upanga,+ njaa+ na tauni,+ mpaka waufikie mwisho wao kutoka katika nchi niliyowapa wao na mababu zao.”’”+
59 ndipo hakika Yehova atayafanya mapigo yako na mapigo ya uzao wako yawe makali sana, mapigo makuu na yenye kudumu kwa muda mrefu,+ na magonjwa hatari na yenye kudumu kwa muda mrefu.+
10 Nami nitatuma juu yao upanga,+ njaa+ na tauni,+ mpaka waufikie mwisho wao kutoka katika nchi niliyowapa wao na mababu zao.”’”+