Kumbukumbu la Torati 28:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yehova atakupiga kwa kifua kikuu+ na homa kali na mchonyoto na joto la homa na upanga+ na kuunguza+ na ukungu,+ navyo vitakufuatilia mpaka utakapokuwa umeangamia. 2 Mambo ya Nyakati 21:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nawe utakuwa na magonjwa mengi,+ na ugonjwa wa matumbo yako, mpaka matumbo yako yatakapotoka nje kwa sababu ya ugonjwa huo siku baada ya siku.’”+
22 Yehova atakupiga kwa kifua kikuu+ na homa kali na mchonyoto na joto la homa na upanga+ na kuunguza+ na ukungu,+ navyo vitakufuatilia mpaka utakapokuwa umeangamia.
15 Nawe utakuwa na magonjwa mengi,+ na ugonjwa wa matumbo yako, mpaka matumbo yako yatakapotoka nje kwa sababu ya ugonjwa huo siku baada ya siku.’”+