Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nami nitawafanya kuwa kitu cha kutetemesha falme zote za dunia+ kwa sababu ya Manase mwana wa Hezekia, mfalme wa Yuda, kwa sababu ya yale aliyofanya Yerusalemu.+

  • Yeremia 24:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 mimi pia nitawatoa kwa ajili ya kutetemesha, kwa ajili ya msiba, katika falme zote za dunia,+ kwa ajili ya shutuma na kwa ajili ya neno la kimethali, kwa ajili ya suto+ na kwa ajili ya laana,+ katika mahali pote nitakapowatawanya.+

  • Yeremia 34:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Kwa hiyo Yehova amesema hivi, ‘Ninyi hamkunitii mimi kwa kuendelea kumtangazia uhuru+ kila mtu ndugu yake na kila mtu mwenzake. Tazama, mimi ninawatangazia ninyi uhuru,’+ asema Yehova, ‘upanga,+ tauni+ na njaa,+ na hakika mimi nitawatoa ninyi kwa ajili ya kutetemesha falme zote za dunia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki