Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 1:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Mungu akamuumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimuumba;+ mwanamume na mwanamke aliwaumba.+

  • Mwanzo 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na Yehova Mungu akamfanya mtu kutoka katika mavumbi+ ya nchi+ na kupuliza katika mianzi ya pua yake pumzi ya uhai,+ naye mtu akawa nafsi hai.+

  • Mwanzo 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mwanamume na mwanamke aliwaumba.+ Baada ya hapo akawabariki, akawaita jina lao Mwanadamu+ siku ile walipoumbwa.+

  • Kumbukumbu la Torati 4:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 “Sasa uliza, tafadhali, juu ya siku za zamani+ zilizokuwapo kabla yako, kutoka siku ambayo  Mungu alimuumba mwanadamu duniani+ na kutoka mwisho mmoja wa mbingu mpaka mwisho mwingine wa mbingu, Je, jambo lolote kubwa kama hili lilitokezwa au jambo lolote kama hili lilisikiwa?+

  • Zaburi 139:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nitakusifu kwa sababu nimeumbwa kwa njia ya ajabu yenye kuogopesha.+

      Kazi zako ni za ajabu,+

      Kama vile nafsi yangu inavyojua vema.+

  • Yeremia 27:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 ‘Mimi mwenyewe nimeifanya dunia,+ wanadamu+ na wanyama+ walio juu ya uso wa dunia kwa nguvu zangu kuu+ na kwa mkono wangu ulionyooshwa;+ nami nimempa hiyo yeye ambaye nimemwona kuwa sawa machoni pangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki