32 “Sasa uliza, tafadhali, juu ya siku za zamani+ zilizokuwapo kabla yako, kutoka siku ambayo Mungu alimuumba mwanadamu duniani+ na kutoka mwisho mmoja wa mbingu mpaka mwisho mwingine wa mbingu, Je, jambo lolote kubwa kama hili lilitokezwa au jambo lolote kama hili lilisikiwa?+