Zaburi 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu;+Nalo anga linatangaza kazi ya mikono yake.+ Zaburi 92:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Jinsi zilivyo kuu kazi zako, Ee Yehova!+Fikira zako ni zenye kina kikubwa sana.+ Zaburi 104:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Jinsi kazi zako zilivyo nyingi, Ee Yehova!+Zote umezifanya kwa hekima.+Dunia imejaa vitu ulivyotokeza.+ Zaburi 111:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kazi za Yehova ni kuu,+ ד [Daʹleth]Zinazotafutwa na wale wote wanaopendezwa nazo.+
24 Jinsi kazi zako zilivyo nyingi, Ee Yehova!+Zote umezifanya kwa hekima.+Dunia imejaa vitu ulivyotokeza.+