Mwanzo 7:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi kila chenye mwili kilichokuwa kikitembea juu ya dunia kikakata pumzi,+ kati ya viumbe vinavyoruka na kati ya wanyama wa kufugwa na kati ya wanyama-mwitu na kati ya viumbe vyote vilivyokuwa vinazaana kwa wingi juu ya dunia, na wanadamu wote.+ Mhubiri 3:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ni nani anayejua roho ya wana wa binadamu, ikiwa inapanda juu; na roho ya mnyama, ikiwa inashuka chini duniani?+ Matendo 17:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Ni kweli, Mungu ameachilia mbali nyakati hizo za kutojua,+ lakini sasa anawaambia wanadamu wote kila mahali kwamba wanapaswa kutubu.+ 1 Wakorintho 15:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Nyama yote si nyama ya aina moja, bali kuna moja ya wanadamu, na kuna nyama nyingine ya mifugo, na nyama nyingine ya ndege, na nyingine ya samaki.+
21 Basi kila chenye mwili kilichokuwa kikitembea juu ya dunia kikakata pumzi,+ kati ya viumbe vinavyoruka na kati ya wanyama wa kufugwa na kati ya wanyama-mwitu na kati ya viumbe vyote vilivyokuwa vinazaana kwa wingi juu ya dunia, na wanadamu wote.+
21 Ni nani anayejua roho ya wana wa binadamu, ikiwa inapanda juu; na roho ya mnyama, ikiwa inashuka chini duniani?+
30 Ni kweli, Mungu ameachilia mbali nyakati hizo za kutojua,+ lakini sasa anawaambia wanadamu wote kila mahali kwamba wanapaswa kutubu.+
39 Nyama yote si nyama ya aina moja, bali kuna moja ya wanadamu, na kuna nyama nyingine ya mifugo, na nyama nyingine ya ndege, na nyingine ya samaki.+