Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 1:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Mungu akaendelea kusema: “Na tufanye+ mtu kwa mfano+ wetu, kwa sura+ yetu, nao watawale samaki wa baharini na viumbe vinavyoruka vya mbinguni na wanyama wa kufugwa na dunia yote na kila mnyama anayetembea juu ya dunia.”+

  • Zaburi 22:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa maana Wewe ndiye uliyenitoa tumboni,+

      Wewe ndiye unayenifanya niwe na tegemeo nilipokuwa kwenye maziwa ya mama yangu.+

  • Zaburi 71:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Nimekutegemea tangu tumboni;+

      Wewe ndiye Yule anayenitenganisha na sehemu za ndani za mama yangu.+

      Sifa yangu kwako ni ya daima.+

  • Zaburi 100:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Jueni kwamba Yehova ni Mungu.+

      Yeye ndiye aliyetufanya, wala si sisi wenyewe.+

      Sisi ni watu wake na kondoo wa malisho yake.+

  • Isaya 44:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yehova, Mtengenezaji+ wako na Mfanyizaji+ wako, ambaye aliendelea kukusaidia tangu tumboni,+ amesema hivi, ‘Usiogope,+ Ee mtumishi wangu Yakobo, na wewe, Yeshuruni,+ ambaye nimekuchagua.

  • Yeremia 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Kabla sijaanza kukuumba ndani ya tumbo+ nilikujua,+ na kabla hujatoka ndani ya tumbo la uzazi nilikutakasa.+ Nilikufanya uwe nabii kwa mataifa.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki