Mwanzo 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake nayo itamwagwa na mwanadamu,+ kwa maana kwa mfano wa Mungu alimfanya mwanadamu. 1 Wakorintho 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana mwanamume hapaswi kufunika kichwa chake, kwa kuwa yeye ni mfano+ na utukufu wa Mungu;+ lakini mwanamke ni utukufu wa mwanamume.+ Wakolosai 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 na mjivike utu mpya,+ ambao kupitia ujuzi sahihi unafanywa kuwa mpya kulingana na mfano+ wa Yule aliyeuumba,
6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake nayo itamwagwa na mwanadamu,+ kwa maana kwa mfano wa Mungu alimfanya mwanadamu.
7 Kwa maana mwanamume hapaswi kufunika kichwa chake, kwa kuwa yeye ni mfano+ na utukufu wa Mungu;+ lakini mwanamke ni utukufu wa mwanamume.+
10 na mjivike utu mpya,+ ambao kupitia ujuzi sahihi unafanywa kuwa mpya kulingana na mfano+ wa Yule aliyeuumba,