30 ndipo nilipokuwa kando yake nikiwa stadi wa kazi,+ nami nikawa yule ambaye yeye alimpenda sana+ kwa njia ya pekee siku baada ya siku, nami nikawa nikifurahi mbele zake wakati wote,+
16 kwa sababu kwa njia yake+ vitu vingine vyote viliumbwa mbinguni na duniani, vitu vinavyoonekana na vitu visivyoonekana, hata viwe ni viti vya ufalme au utawala au serikali au mamlaka.+ Vitu vingine vyote vimeumbwa kupitia yeye+ na kwa ajili yake.