Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 6:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Daudi na nyumba yote ya Israeli walikuwa wakilipandisha Sanduku+ la Yehova kwa kelele za shangwe+ na sauti ya pembe.+

  • Zaburi 48:1-3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Yehova ni mkuu na anastahili kabisa kusifiwa

      Katika jiji la Mungu wetu, katika mlima wake mtakatifu.

       2 Urefu wake unavutia, shangwe ya dunia yote,+

      Ni Mlima Sayuni ulio mbali sana kaskazini,

      Jiji la Mfalme Mkuu.+

       3 Katika minara yake yenye ngome,

      Mungu ametangaza kwamba yeye ni kimbilio salama.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki