48 Yehova ni mkuu na anastahili kabisa kusifiwa
Katika jiji la Mungu wetu, katika mlima wake mtakatifu.
2 Urefu wake unavutia, shangwe ya dunia yote,+
Ni Mlima Sayuni ulio mbali sana kaskazini,
Jiji la Mfalme Mkuu.+
3 Katika minara yake yenye ngome,
Mungu ametangaza kwamba yeye ni kimbilio salama.+