1 Mambo ya Nyakati 15:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi Walawi wakamweka Hemani+ mwana wa Yoeli na, kutoka kati ya ndugu zake, Asafu+ mwana wa Berekia na, kutoka kati ya ndugu zao Wamerari, Ethani+ mwana wa Kushaya.
17 Basi Walawi wakamweka Hemani+ mwana wa Yoeli na, kutoka kati ya ndugu zake, Asafu+ mwana wa Berekia na, kutoka kati ya ndugu zao Wamerari, Ethani+ mwana wa Kushaya.