1 Mambo ya Nyakati 15:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Daudi alikuwa amevaa joho lisilo na mikono la kitambaa bora, kama walivyovaa Walawi wote waliobeba Sanduku hilo, waimbaji, na Kenania mkuu wa usafirishaji na wa waimbaji; Daudi pia alikuwa amevaa efodi ya kitani.+
27 Daudi alikuwa amevaa joho lisilo na mikono la kitambaa bora, kama walivyovaa Walawi wote waliobeba Sanduku hilo, waimbaji, na Kenania mkuu wa usafirishaji na wa waimbaji; Daudi pia alikuwa amevaa efodi ya kitani.+