1 Mambo ya Nyakati 6:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na hawa ndio waliohudumu na pia wana wao: Wa wana wa Wakohathi Hemani+ mwimbaji, mwana wa Yoeli,+ mwana wa Samweli,+ 1 Mambo ya Nyakati 25:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Hemani, mwonaji+ wa mfalme katika mambo ya Mungu wa kweli ili ainue pembe yake; basi Mungu wa kweli akampa Hemani wana kumi na wanne na binti watatu.+
33 Na hawa ndio waliohudumu na pia wana wao: Wa wana wa Wakohathi Hemani+ mwimbaji, mwana wa Yoeli,+ mwana wa Samweli,+
5 Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Hemani, mwonaji+ wa mfalme katika mambo ya Mungu wa kweli ili ainue pembe yake; basi Mungu wa kweli akampa Hemani wana kumi na wanne na binti watatu.+