1 Samweli 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi jina la mwana wake mzaliwa wa kwanza lilikuwa Yoeli,+ na jina la wa pili Abiya;+ walikuwa wakihukumu katika Beer-sheba. 1 Mambo ya Nyakati 6:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na wana wa Samweli+ walikuwa Yoeli mzaliwa wa kwanza na wa pili Abiya.+
2 Basi jina la mwana wake mzaliwa wa kwanza lilikuwa Yoeli,+ na jina la wa pili Abiya;+ walikuwa wakihukumu katika Beer-sheba.