Zaburi 120:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 120 Nilimwita Yehova katika taabu yangu,+Naye akanijibu.+ Zaburi 142:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 142 Kwa sauti yangu, nilimwomba Yehova msaada;+Kwa sauti yangu, nilianza kumlilia Yehova anionyeshe kibali.+ Yona 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 na kusema:“Katika taabu yangu nilimwita Yehova,+ naye akanijibu.+Katika tumbo la Kaburi* nilililia msaada.+Ulisikia sauti yangu.+
142 Kwa sauti yangu, nilimwomba Yehova msaada;+Kwa sauti yangu, nilianza kumlilia Yehova anionyeshe kibali.+
2 na kusema:“Katika taabu yangu nilimwita Yehova,+ naye akanijibu.+Katika tumbo la Kaburi* nilililia msaada.+Ulisikia sauti yangu.+