Zaburi 50:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na uniite katika siku ya taabu.+Nitakuokoa, nawe utanitukuza.”+ Zaburi 107:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nao wakaanza kumwomba Yehova msaada katika taabu yao;+Na kutoka katika mikazo iliyokuwa juu yao yeye akawaokoa kama kawaida.+ Yona 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 na kusema:“Katika taabu yangu nilimwita Yehova,+ naye akanijibu.+Katika tumbo la Kaburi* nilililia msaada.+Ulisikia sauti yangu.+
13 Nao wakaanza kumwomba Yehova msaada katika taabu yao;+Na kutoka katika mikazo iliyokuwa juu yao yeye akawaokoa kama kawaida.+
2 na kusema:“Katika taabu yangu nilimwita Yehova,+ naye akanijibu.+Katika tumbo la Kaburi* nilililia msaada.+Ulisikia sauti yangu.+