Zaburi 30:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Niliendelea kukuita, Ee Yehova;+Nami niliendelea kumsihi Yehova anipe kibali.+ Zaburi 77:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 77 Kwa sauti yangu nitamlilia Mungu mwenyewe,+Kwa sauti yangu kwa Mungu, naye hakika atanisikiliza.+ Zaburi 141:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 141 Ee Yehova, nimekuitia wewe.+Ufanye haraka kuja kwangu.+Utege sikio kwa sauti yangu ninapokuita.+