Zaburi 34:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Huyu mwenye kuteseka aliita, na Yehova mwenyewe akasikia.+Na Yeye akamwokoa kutoka katika taabu zake zote.+ Zaburi 77:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 77 Kwa sauti yangu nitamlilia Mungu mwenyewe,+Kwa sauti yangu kwa Mungu, naye hakika atanisikiliza.+
6 Huyu mwenye kuteseka aliita, na Yehova mwenyewe akasikia.+Na Yeye akamwokoa kutoka katika taabu zake zote.+