Zaburi 28:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Uisikie sauti ya kusihi kwangu ninapokulilia unisaidie,Wakati ninapoinua mikono+ yangu katika chumba cha ndani kabisa cha mahali pako patakatifu.+ Zaburi 50:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na uniite katika siku ya taabu.+Nitakuokoa, nawe utanitukuza.”+ Zaburi 107:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nao wakaanza kumwomba Yehova msaada katika taabu yao;+Na kutoka katika mikazo iliyokuwa juu yao yeye akawaokoa kama kawaida.+
2 Uisikie sauti ya kusihi kwangu ninapokulilia unisaidie,Wakati ninapoinua mikono+ yangu katika chumba cha ndani kabisa cha mahali pako patakatifu.+
13 Nao wakaanza kumwomba Yehova msaada katika taabu yao;+Na kutoka katika mikazo iliyokuwa juu yao yeye akawaokoa kama kawaida.+