Waamuzi 11:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 itatukia pia kwamba yule atakayetoka nje, atakayetoka nje ya milango ya nyumba yangu kuja kunipokea nitakaporudi kwa amani+ kutoka kwa wana wa Amoni, lazima atakuwa wa Yehova,+ nami nitamtoa huyo kuwa toleo la kuteketezwa.”+
31 itatukia pia kwamba yule atakayetoka nje, atakayetoka nje ya milango ya nyumba yangu kuja kunipokea nitakaporudi kwa amani+ kutoka kwa wana wa Amoni, lazima atakuwa wa Yehova,+ nami nitamtoa huyo kuwa toleo la kuteketezwa.”+