Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 18:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “‘Nawe usiuruhusu uzao wako wowote utolewe+ kwa Moleki.+ Usilitie unajisi+ jina la Mungu wako kwa njia hiyo. Mimi ni Yehova.+

  • Mambo ya Walawi 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mimi nami, nitauweka uso wangu juu ya mtu huyo, nami nitamkatilia mbali kutoka katikati ya watu wake,+ kwa sababu amempa Moleki baadhi ya uzao wake kwa kusudi la kupatia unajisi mahali pangu patakatifu+ na kulitia unajisi jina langu takatifu.+

  • Kumbukumbu la Torati 17:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 naye aende na kuabudu miungu mingine na kuinamia hiyo au jua au mwezi au jeshi lote la mbinguni,+ jambo ambalo sijaamuru,+

  • Yeremia 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nao walijenga mahali pa juu pa Baali ili kuwateketeza wana wao motoni kama matoleo mazima ya kuteketezwa kwa Baali,+ jambo ambalo sikuliamuru wala kusema juu yake,+ na ambalo halikuingia moyoni mwangu.”’+

  • Yeremia 32:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Na zaidi ya hayo, walijenga mahali pa juu pa Baali+ palipo katika bonde la mwana wa Hinomu,+ ili kuwapitisha wana wao na binti zao motoni+ kwa Moleki,+ jambo ambalo sikuwaamuru,+ wala halikuingia moyoni mwangu kufanya chukizo hili,+ kwa kusudi la kufanya Yuda watende dhambi.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki