Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Utawaleta na kuwapanda katika mlima wa urithi wako,+

      Mahali palipofanywa imara ambapo umetayarisha ili ukae,+ Ee Yehova,

      Patakatifu,+ Ee Yehova, ambapo mikono yako imepafanya imara.

  • Hesabu 19:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “‘Lakini mtu asiye safi na ambaye hatajitakasa, basi, nafsi hiyo lazima ikatiliwe mbali+ kutoka katikati ya kutaniko, kwa sababu amepatia unajisi patakatifu pa Yehova. Maji ya kutakasa hayakunyunyizwa juu yake. Yeye si safi.

  • Kumbukumbu la Torati 23:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana Yehova Mungu wako anatembea ndani ya kambi yako ili kukukomboa+ na kuwatia adui zako mkononi mwako;+ na kambi yako lazima iwe takatifu,+ ili asione kitu chochote kisichofaa ndani yako naye ageuke na kuacha kuandamana nawe.+

  • Ezekieli 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “ ‘Kwa hiyo kama ninavyoishi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘kwa hakika kwa sababu ni patakatifu pangu ulipopatia unajisi kwa machukizo+ yako yote na kwa vinyaa+ vyako vyote, mimi mwenyewe pia Ndiye nitakayekupunguza+ wewe nalo jicho langu halitakusikitikia+ na mimi mwenyewe sitakuhurumia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki