25 Sanamu za kuchongwa za miungu yao mtaziteketeza kwa moto.+ Usitamani fedha na dhahabu iliyo juu yake,+ wala usiichukue kwa ajili yako,+ usije ukanaswa nayo;+ kwa maana hizo ni chukizo+ kwa Yehova Mungu wako.
18 Na, kwanza kabisa, nitalipa kiwango kamili cha kosa+ lao na cha dhambi yao, kwa sababu waliitia nchi yangu unajisi.+ Walikuwa wameujaza urithi wangu mizoga ya machukizo yao na vinyaa vyao.’”+