16 Nawe utawaangamiza watu wote ambao Yehova Mungu wako anawatia mkononi mwako.+ Jicho lako lisiwasikitikie;+ wala usiitumikie miungu yao,+ kwa sababu jambo hilo litakuwa mtego kwako.+
27 Naye Gideoni akavifanya kuwa efodi+ na kuiweka katika jiji lake la Ofra+ ili ionekane; na Israeli wote wakaanza kufanya uasherati nayo hapo,+ nayo ikawa mtego kwa Gideoni na kwa nyumba yake.+