6 “Nao watafanya efodi ya dhahabu, uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau, kitambaa cha rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa, kazi ya mtarizi.+
14 Ndipo wale watu watano waliokuwa wameenda kuipeleleza+ nchi ya Laishi+ wakajibu na kuwaambia ndugu zao: “Je, mlijua kwamba katika nyumba hizi mna efodi na terafimu+ na sanamu ya kuchongwa+ na sanamu ya kuyeyushwa?+ Na sasa mfikirie akilini yale mtakayofanya.”+