Waamuzi 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kisha wale wanaume watano waliokuwa wameenda kuipeleleza nchi ya Laishi+ wakawaambia hivi ndugu zao: “Je, mnajua kwamba nyumba hizi zina efodi,* terafimu,* sanamu ya kuchongwa, na sanamu ya chuma?*+ Fikirieni mtakalofanya.”
14 Kisha wale wanaume watano waliokuwa wameenda kuipeleleza nchi ya Laishi+ wakawaambia hivi ndugu zao: “Je, mnajua kwamba nyumba hizi zina efodi,* terafimu,* sanamu ya kuchongwa, na sanamu ya chuma?*+ Fikirieni mtakalofanya.”