6 “Nao watafanya efodi ya dhahabu, uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau, kitambaa cha rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa, kazi ya mtarizi.+
27 Naye Gideoni akavifanya kuwa efodi+ na kuiweka katika jiji lake la Ofra+ ili ionekane; na Israeli wote wakaanza kufanya uasherati nayo hapo,+ nayo ikawa mtego kwa Gideoni na kwa nyumba yake.+