Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Wasikae katika nchi yako, wasije wakakufanya unitendee dhambi. Ikiwa utaitumikia miungu yao, itakuwa mtego kwako.”+

  • Waamuzi 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nao hawakuwasikiliza hata waamuzi wao, lakini wakafanya uasherati+ na miungu mingine+ na kuiinamia. Waligeuka upesi kutoka katika njia ambayo mababu zao walikuwa wametembea kwa kutii amri za Yehova.+ Wao hawakufanya hivyo.

  • Zaburi 106:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Nao wakawa wasio safi kwa sababu ya kazi zao+

      Na wakaendelea kufanya uasherati kwa matendo yao.+

  • Hosea 4:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Watu wangu mwenyewe wanaendelea kuuliza habari+ kutoka kwa sanamu yao ya mti,+ na fimbo yao ya mkononi huwaambia; kwa maana roho ya uasherati imewafanya watange-tange,+ nao kwa uasherati hutoka chini ya Mungu wao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki