17 Nao hawakuwasikiliza hata waamuzi wao, lakini wakafanya uasherati+ na miungu mingine+ na kuiinamia. Waligeuka upesi kutoka katika njia ambayo mababu zao walikuwa wametembea kwa kutii amri za Yehova.+ Wao hawakufanya hivyo.
12 Watu wangu mwenyewe wanaendelea kuuliza habari+ kutoka kwa sanamu yao ya mti,+ na fimbo yao ya mkononi huwaambia; kwa maana roho ya uasherati imewafanya watange-tange,+ nao kwa uasherati hutoka chini ya Mungu wao.+