Yeremia 2:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Wanauambia mti, ‘Wewe ni baba yangu,’+ na jiwe, ‘Wewe ulinizaa.’ Lakini mimi wamenigeuzia sehemu ya nyuma ya shingo badala ya uso.+ Na wakati wa msiba wao watasema, ‘Simama utuokoe!’+ Habakuki 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “ ‘Ole wake anayekiambia kipande cha mti: “Ee amka!” anayeliambia jiwe lisiloweza kusema: “Ee amka! Hizo zenyewe zitafundisha”!+ Tazama! Zimefunikwa kwa dhahabu na fedha,+ wala hamna pumzi yoyote katikati yake.+
27 Wanauambia mti, ‘Wewe ni baba yangu,’+ na jiwe, ‘Wewe ulinizaa.’ Lakini mimi wamenigeuzia sehemu ya nyuma ya shingo badala ya uso.+ Na wakati wa msiba wao watasema, ‘Simama utuokoe!’+
19 “ ‘Ole wake anayekiambia kipande cha mti: “Ee amka!” anayeliambia jiwe lisiloweza kusema: “Ee amka! Hizo zenyewe zitafundisha”!+ Tazama! Zimefunikwa kwa dhahabu na fedha,+ wala hamna pumzi yoyote katikati yake.+