11 “‘Kwa hiyo, kwa hakika, kama ninavyoishi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘kwa sababu mlipachafua mahali pangu patakatifu kwa sanamu zenu zote zinazochukiza na mazoea yenu yote yanayochukiza,+ mimi pia nitawakataa; jicho langu halitasikitika, nami sitawahurumia.+