Maombolezo 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mvulana na mwanamume mzee wamelala chini barabarani wakiwa wamekufa.+ Mabikira* wangu na vijana wangu wa kiume wameuawa kwa upanga.+ Umeua katika siku ya hasira yako; umechinja bila huruma.+ Ezekieli 7:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Jicho langu halitakusikitikia; wala sitakuhurumia,+ kwa maana nitakuletea matokeo ya njia zako mwenyewe, nawe utapatwa na madhara ya matendo yako yanayochukiza.+ Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’+
21 Mvulana na mwanamume mzee wamelala chini barabarani wakiwa wamekufa.+ Mabikira* wangu na vijana wangu wa kiume wameuawa kwa upanga.+ Umeua katika siku ya hasira yako; umechinja bila huruma.+
4 Jicho langu halitakusikitikia; wala sitakuhurumia,+ kwa maana nitakuletea matokeo ya njia zako mwenyewe, nawe utapatwa na madhara ya matendo yako yanayochukiza.+ Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’+