Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwanza, nitalipa kiwango kamili kinachostahili kosa lao na dhambi yao,+

      Kwa maana wameitia unajisi nchi yangu kwa mifano isiyo hai ya* sanamu zao zinazochukiza

      Nao wameujaza urithi wangu mambo yao yanayochukiza.’”+

  • Ezekieli 16:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 “‘Kwa sababu hukuzikumbuka siku za ujana wako+ nawe umenikasirisha kwa kufanya mambo hayo yote, sasa nitakuletea madhara ya njia zako juu ya kichwa chako mwenyewe,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘nawe hutaendelea tena na mwenendo wako mchafu na mazoea yako yote yanayochukiza.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki